Home > Termini > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Parte del discorso: nome proprio
  • Sinonimi:
  • Blossario:
  • Settore/Dominio: Cultura
  • Categoria: Persone
  • Company:
  • Prodotto:
  • Acronimo - Abbreviazione:
Aggiungi a My Glossary

Lascia un commento?

Per rispondere alla discussione devi effettuare l'accesso.

Termini nelle notizie

Termini in evidenza

edithrono
  • 0

    Termini

  • 0

    Glossari

  • 1

    Sostenitori

Settore/Dominio: Cucina e sala da pranzo Categoria: Bicchieri e affini

kikombe cha chai

kikombe cha chai ni kikombe kidogo, na au bila kono, kwa ujumla moja ndogo ambacho kinaweza kushikwa na kidole gumba na kidole kimoja au vidole ...

Partecipante

Blossari in evidenza

Wars

Categoria: Storia   1 1 Termini

Venezuelan Dishes

Categoria: Food   2 3 Termini